Kwa maelezo zaidi, tembelea ofisi zetu zilizopo
Mkoani Dodoma na Tabora.
au wasiliana nasi kwa:-
Bwana Chimwaga Job,
Kitengo cha Ubora na Masoko,
Tabora-Tanzania
Simu ya mkononi: +255 (0)787 721 965
+255 (0) 752 155 830
e.mail:jobchimwaga@yahoo.com
Mr Segunda Lesilwa,
Beekeeping Field Operator,
Dodoma-Tanzania
Simu ya mkononi: +255 (0) 762-630050
+255 (0) 787-532281
e.mail:slesilwa@yahoo.com
beekeepingtanzania@gmail.com
Blog:nyukitz.blogspot.com
habari segunda, natamani kujua detail zaidi za ufugaji nyuki.
ReplyDeletenipo dar es salaam natazamia kuanza ufugaji wa nyuki 2013.
naomba nikutane na wewe nijue habari zaidi na kujua nini cha msingi natakiwa kujua kabla ya kuanza kufuga.
unaweza kukutana na mimi kwenye kampuni ambayo kwa sasa nafanya kazi iliyopo mkabala na Ubungo Plaza katika jengo la EPZ siku za kazi kuanzia saa mbili na nusu asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.Jitahidi kufanya mapema kabla ya mwezi wa tatu kwani nitakuwa na kazi za field Tabora.Kwa maelezo zaidi wasiliana nami kwa namba za simu yangu zilizopo kwenye blog hii.
DeleteNimependa website hii. naweza kupata kijitabu cha maelezo haya yalio hapa.
ReplyDeleteKijitabu kwa sasa kipo ila bado hakijasambaa Tanzania nzima, kinapatikana baadhi ya mikoa kama Vile Dodoma, Tabora na Singida.
ReplyDeletemimi na asali yangu naomba unisaidie kutafuta masoko
ReplyDeletesimu haipatikani
ReplyDeletehello nna asali naomba nikuuzie au unsaidie kutafta masoka plz
ReplyDeleteNahitaji mashine ya kukamua asali. nitapataje kwani nimetafuta manyara na singida sijapata. Hata sasa niko Singida kwa kutafuta hiyo tu. mimi naishi Yaeda chini, wilayani mbulu mkoani Manyara.
ReplyDeleteInategemea na aina gani ya mashine unayohitaji maana hata ofisi za sido zinauza baadhi ya mashine hizo lakini pia tunaweza kukusaidia kuagiza aina ya mashine kama utaiweka bayana
DeleteSwali langu ni kwamba je...ni muda upi sahihi wa kuweka mizinga ya nyuki porini? yaani ni mwezi wa ngapi.
ReplyDeleteNatafuta ajira ya nyuki 0757980872
ReplyDeleteHabari za leo Mr. Segunda, nahitaji plastic containers za kilo moja, nusu robo na hata gram 50 na 25 kama unazo au unisaidie kuzipata.
ReplyDeleteHbr Ndg, Mimi nipo Dsm. Nahitaji kufuga nyuki, naweza kupata utaratibu wa vibari na maeneo ya ufugaji toka TFS? Asante
ReplyDeleteHabari blog hii inawezaje kuwasaidia vijana kupata elimu ya ufugaji nyuki na kupata asali?
ReplyDeleteHabari,
ReplyDeleteNaomba kujua bei za mashine za kuchujia asali na bei za mashine za kukamlia asali zinazo tengenezwa na SIDO
Habari .je kunajia yoyote ya kuwavutia nyuki aingie kwenye mzinga
ReplyDelete